Utangulizi Wa Fasihi Andishi
Utangulizi wa Fasihi Andishi Utangulizi wa fasihi andishi ni kitabu kinacholenga kuwapa wanafunzi na walimu wao msingi thabiti wa fasihi andishi. Kimsingi, kinalenga kumuelimisha msomaji kuhusu vigezo mbalimbali vya uchambuzi
wa fasihi andishi. Kinaangazia kwa kina tanzu za fasihi andishi. Aidha, kinadadavua tamathali za usemi zinazotumika katika fasihi andishi. Pia, kimechanganua mitindo mbalimbali ya maswali yanayoulizwa katika mijarabu/mitihani. Kitabu hiki ni muhimu sana kwa walimu, wanafunzi na wote wanaoienzi fasihi andishi.
Anne Wasike ni mwandishi wa fasihi ya Kiswahili.
Original price was: KSh 450.00.KSh 400.00Current price is: KSh 400.00.