Cart

No products in the cart.

Sale

Mapenzi

Original price was: KSh 600.00.Current price is: KSh 550.00.

Kuna aina tofauti tofauti ya mapenzi, kulingana na mwandishi. Kama ilivyo mapenzi ya Mwenyezi Mungu, ya
wazazi, ya ndugu na wapendwa, ya wapendanao kama mke na mume, pia ya mtu kuihusu kazi yake.

In stock
Tunu Publishers ISBN 978-9914-37-719-4 April 1, 2025 Kiswahili 284 pages

Authors

Meet the Author

Alvine Sungu

Book By Alvine Sungu View All
Mapenzi
Mapenzi

Description

Kuna aina tofauti tofauti ya mapenzi, kulingana na mwandishi. Kama ilivyo mapenzi ya Mwenyezi Mungu, ya
wazazi, ya ndugu na wapendwa, ya wapendanao kama mke na mume, pia ya mtu kuihusu kazi yake. Mapenzi yanafaa
kuwa na utaratibu wake. Mwandishi anaanika na kuanua uozo ujitokezao sababu ya mapenzi. Uozo huu unaleta utata,
umaskini, kukosana, audui, shida, magonjwa na hata kifo kwenye Jamii. Mwandishi anampa msomaji jicho pevu jinsi
ya kuyakabili haya yote. Na hata kuizalisha Jamii chanya yenye upendo wa haki. Utafiti huu unalenga wanafunzi wa
chuoni, sekondari walimu na wakereketwa wa lugha.

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Mapenzi”

Your email address will not be published. Required fields are marked *