Cart

No products in the cart.

Sale

Mizani

Original price was: KSh 700.00.Current price is: KSh 550.00.

Mizani ni tamthilia kuhusu Mkwasi, mkewe Raufu pamoja na wanao (Nuru na Nuri). Wahusika hawa
wanatofautishwa na imani zao. Mikondofikira na matamanio ya wahusika wakuu yanakinzana kama usiku na mchana. Mahusiano yao ya kijamii yanayumbishwa na utofauti wa imani na tamaduni. Mkwasi ni mganga na mtamaduni mkubwa aliyejizika katika mila na itikadi.

In stock
Tunu Publishers ISBN:978-9914-772-36-4 Swahili 98 pages

Authors

Meet the Author

Timothy Omusikoyo Sumba

Books By Timothy Omusikoyo Sumba View All
Makosa ya Kawaida katika Kiswahili
Makosa ya Kawaida katika Kiswahili
Mizani
Mizani
Uandishi na Uhariri Mbinu na Nadharia
Uandishi na Uhariri Mbinu na Nadharia
Samahani Na Hadithi Nyengine
Samahani Na Hadithi Nyengine

Meet the Author

Sussy Nandama Sumbi

Books By Sussy Nandama Sumbi View All
Makosa ya Kawaida katika Kiswahili
Makosa ya Kawaida katika Kiswahili
Mizani
Mizani
Samahani Na Hadithi Nyengine
Samahani Na Hadithi Nyengine

Description

Mizani ni tamthilia kuhusu Mkwasi, mkewe Raufu pamoja na wanao (Nuru na Nuri). Wahusika hawa
wanatofautishwa na imani zao. Mikondofikira na matamanio ya wahusika wakuu yanakinzana kama usiku na mchana. Mahusiano yao ya kijamii yanayumbishwa na utofauti wa imani na tamaduni. Mkwasi ni mganga na mtamaduni mkubwa aliyejizika katika mila na itikadi. Anaogelea katika bahari ya ushirikina bila ushirikiano. Raufu ni mlokole anayemcha Mungu kwa dhati ya moyo wake. Binti yao Nuru anajikuta kwenye njiapanda kwa kusombwa na hisia mseto. Je, mizani itaegemea upande
gani? Kwa nini?

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Mizani”

Your email address will not be published. Required fields are marked *