Cart

No products in the cart.

Sale

Uandishi na Uhariri Mbinu na Nadharia

Original price was: KSh 500.00.Current price is: KSh 480.00.

Uandishi bora hutegemea uhariri bora wala si bora uhariri. Uandishi na Uhariri: Mbinu na Nadharia ni kazi ya kitaaluma ambayo imeandikwa na waandishi, wahariri na wananadharia wenye weledi mkubwa katika masuala ya lugha.

In stock
Tunu Publishers ISBN:978-9914-4013-9-4 October 2, 2024 Swahili 99 pages

Authors

Meet the Author

Timothy Omusikoyo Sumba

Books By Timothy Omusikoyo Sumba View All
Makosa ya Kawaida katika Kiswahili
Makosa ya Kawaida katika Kiswahili
Mizani
Mizani
Uandishi na Uhariri Mbinu na Nadharia
Uandishi na Uhariri Mbinu na Nadharia
Samahani Na Hadithi Nyengine
Samahani Na Hadithi Nyengine

Meet the Author

Vincent Njeru Magugu

Book By Vincent Njeru Magugu View All
Uandishi na Uhariri Mbinu na Nadharia
Uandishi na Uhariri Mbinu na Nadharia

Meet the Author

Beverlyne Asiko Ambuyo

Book By Beverlyne Asiko Ambuyo View All
Uandishi na Uhariri Mbinu na Nadharia
Uandishi na Uhariri Mbinu na Nadharia

Description

Uandishi bora hutegemea uhariri bora wala si bora uhariri. Uandishi na Uhariri: Mbinu na Nadharia ni kazi ya kitaaluma ambayo imeandikwa na waandishi, wahariri na wananadharia wenye weledi mkubwa katika masuala ya lugha. Ushirikiano wao umedhamiria kuziba nyufa zilizoko kwenye fani ya uandishi, uhariri na nadharia. Matarajio ya waandishi wa kitabu hiki ni kuwawezesha wanafunzi na wataalamu wa Kiswahili kuelewa fika mbinu za uandishi, uhariri na nadharia.

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Uandishi na Uhariri Mbinu na Nadharia”

Your email address will not be published. Required fields are marked *