Cart

No products in the cart.

SaleHot

Zambarau

Original price was: KSh 550.00.Current price is: KSh 500.00.

Mheshimiwa Mwenyekiti anatawala wakazi wa Mibuyuni kwa udhalimu: Wananchi wanafanya maandamano ili kup-inga dhuluma zinazowafika ingawa wananyamazishwa na vyombo vya dola.
Zema, mwanafunzi wa uanahabari anatumia vyombo kadha wa kadha kutetea haki za wanyonge ambao hawana sauti. .
Matimaye, haki inashinda dhuluma wakati kiongozi mbaya (mheshimiwa Mwenyekiti) anabanduliwa madara-kani. Matarajio ya mwandishi ni kuwa wanafunzi wa sekondari watafaidi pakubwa. Tamthilia hii inazingatia matakwa ya mtalaa wa umilisi.
Mwandishi wa tamthilia hii, Elishaphan Wachira (Jina Kubwa) ni ashiki wa Kiswahili ambaye ameandika tanzu mbalimbali za fasihi na lugha. Amesomea taaluma ya ualimu katika Chuo Kikuu cha Kenyatta. Bwana Wachira ni mwalimu wa Kiswahili katika Shule ya Upili ya Mwan-gaza, Murang’a.

In stock
batman-catwoman , ,
Tunu Publishers ISBN:9789914370478 October 27, 2023 Kiswahili 99 pages

Authors

Meet the Author

Elishapan Wachira

Book By Elishapan Wachira View All
Zambarau
Zambarau

Description

Description

Mheshimiwa Mwenyekiti anatawala wakazi wa Mibuyuni kwa udhalimu. Wananchi wanafanya maandamano ili kupinga dhuluma zinazowafika ingawa wananyamazishwa na vyombo vya dola.Zema, mwanafunzi wa uanahabari anatumia vyombo kadha wa kadha kutetea haki za wanyonge ambao hawana sauti. Hatimaye, haki inashinda dhuluma wakati kiongozimbaya (mheshimiwa Mwenyekiti) anabanduliwa madarakani. Matarajio ya mwandishi ni kuwa wanafunzi wa sekondari watafaidi pakubwa. Tamthilia hii inazingatia matakwa ya mtalaa wa umilisi. Mwandishi wa tamthilia hii, Elishaphan Wachira (Jina
Kubwa) ni ashiki wa Kiswahili ambaye ameandika tanzu mbalimbali za fasihi na lugha. Amesomea taaluma ya
ualimu katika Chuo Kikuu cha Kenyatta. Bwana Wachira ni mwalimu wa Kiswahili katika Shule ya Upili ya Mwan-
gaza, Murang’a.

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Zambarau”

Your email address will not be published. Required fields are marked *